Sponsors

Nchi imepitia mengi toka ipate uhuru wake 1961 ni mengi yametendeka, ikiwamo mabadiliko ya kielimu, uchumi na hata mtazamo wa mtu  mmoja mmoja, kiungo kikubwa katika ukuaji huu wa nchi imechangiwa na ongezo la idadi ya watu  nchini, na katika sehemu zenye fursa nyingi hasa katika majiji. Hata hivyo ilisababisha msongamano ambapo ni adhaa kubwa kupelekea shughuli za kiuchumi na kijamii kuchelewa.
kwangu mfumo wa barabara na magari ya mwendokasi ni hatua kubwa ya kijamii na kiuchumi, penye kustahili pongez, pongezi  itolewe


No comments:

Post a Comment